Jumapili, 23 Oktoba 2016

UNA TATIZO LA KISUKARI? HAPA PATA DAWA ZA ASILI NA NAMNA YA KUZIANDAA UKIWA KWAKO NYUMBANI 

 Dawa mbadala 10 zinazotibu Kisukari

 


1. UWATU

 

Tafiti nyingi zimeonyesha kuwa uwatu unao uwezo mkubwa katika kutibu kisukari. Uwatu huzisisimua seli katika kongosho kitendo kinachofanya uzalishwaji wa insulini kuongezeka. Maajabu haya ya uwatu yanasemekana kufanyika kutokana na uwatu kuwa na asidi amino mhimu sana ijulikanayo kama ‘4-hydroxyisoleucine’. Miaka mingi kabla hata ya huu utafiti kufanyika, uwatu umekuwa ukitumika kama moja ya dawa bora kabisa za asili katika kutibu kisukari.

Namna ya kuutumia Uwatu kujitibu kisukari

• Chota mbegu za uwatu vijiko 4 na uziloweke katika maji robo lita kwa usiku mmoja. Asubuhi ponda ponda hizo mbegu za uwatu ndani ya maji kisha zichuje na upate maji yake. Kunywa maji haya kila siku asubuhi kwa muda wa miezi 2.
• Chukuwa uwatu ya unga vijiko vikubwa 2 na uweke ndani ya maziwa au maji ya uvugu uvugu robo lita, koroga vizuri na unywe kila siku kutwa mara 2 kwa miezi 2.
• Chukuwa gramu 100 za mbegu za uwatu na gramu 50 za binzari manjano. Unaweza kuongeza kiasi kidogo cha pilipili manga nyeupe kwenye mchanganyiko huu. Ongeza kijiko 1 cha mchanganyiko huu wote katika maziwa robo lita na unywe kutwa mara 2 kila siku.
• Unaweza pia kuongeza uwatu ya unga katika unga wako unaotumia kutengenezea mkate au hata chapati.

2. MDALASINI

 

Utafiti uliofanywa kwa watu wenye kisukari aina ya pili umeonyesha kuwa utumiaji wa gramu 1 hadi 6 za mdalasini kwa siku unaweza siyo tu kupunguza kaisi cha damu sukari mwilini, bali pia unaweza kupunguza kiasi cha mafuta mazito katika damu (triglyceride) na hata kudhibiti kolesto!
Waathirika wa kisukari pia hutokewa kuwa na matatizo katika mfumo wao wa upumuwaji, hivyo utumiaji wa mdalasini kwao unaleta maana zaidi kwakuwa mdalasini unao uwezo mkubwa katika kuzuia magonjwa katika mfumo wa upumuwaji pia. Mdalasini ya unga hushusha kiwango cha damu sukari kwa kuziamsha shughuli za insulini. Mdalasini pia ina faida kwa watu waliogunduliwa kuwa na kisukari cha mwanzo (pre-diabetes status) na hivyo matumizi ya mdalasini kwao yatasaidia kuzuia wasipatwe na kisukari katika siku za usoni.
Hata hivyo aina ya mdalasini unaotumia pia inahusika katika kutibu kisukari au maradhi mengine. Nashindwa kupata maneno haya kwa Kiswahili lakini kuna aina kama mbili hivi za mdalasini ambazo ni ‘Cassia cinnamon’ ambao wenyewe huwa na kitu kingine ndani yake kiitwacho ‘coumarin’ ambayo ni sumu na husababisha matatizo katika ini. Mdalasini nzuri kwa kutibu kisukari na ambayo bei yake ipo juu kidogo ni ile iitwayo kwa kiingereza kama ‘Ceylon cinnamon’.

Namna ya kutumia mdalasini kutibu kisukari

• Chukuwa lita 1 ya maji na uyachemshe. Mara yatakapoanza kuchemka, ongeza vijiko 3 vikubwa vya mdalasini ya unga na uache kwa dakika kama 15 hivi kisha ipuwa chuja na unywe ikiwa bado ya uvugu uvugu kutwa mara moja kila siku kwa mwezi 1.
• Ongeza mdalasini kijiko kidogo kimoja cha chai katika kikombe kimoja (robo lita) cha maji ya uvugu uvugu, koroga na unywe kila siku.
• Unaweza pia kuongeza mdalasini ya unga ndani ya kachumbari kila unapokula.

3. MAJANI YA MANJANO

 

Utafiti unaonyesha kuwa, kutokana na kuwa na kiasi kingi cha madini kama vile madini ya chuma, Zinki, na shaba; majani ya manjano ni mhimu sana katika kuutunza usawa wa glukozi katika damu. Madini haya huziamsha seli za kongosho zinazohusika na uzarishwaji wa homoni ya insulini. Majani ya manjano pia husaidia umeng’enywaji wa wanga mwilini. Yanao uwezo wa kuviamsha upya vimeng’enya katika figo na ini ambazo zinahusika katika kumeng’enya wanga na kuurudisha katika hali yake ya kawaida na hivyo kusaidia kutibu kisukari.
Wagonjwa wa kisukari huwa wana tatizo la kuwa na uwezo mdogo kudhibiti sumu mwilini jambo ambalo hupelekea seli zao za mwili kufa katika kiwango kingi. Utafiti unaonyesha kuwa majani ya manjano yana uwezo wa kupunguza kiasi cha seli kufa, seli ambazo ni mhimu katika uzarishwaji wa insulini.
Majani ya manjano yanaweza kushusha usawa wa damu sukari na ni mhimu sana kwa watu wanaopata kisukari kama matokeo ya uzito kuzidi. Ikiwa kisukari kinazunguka katika familia yenu, jitahidini kutumia majani ya manjano kwakuwa yamethibitika kuthibiti pia hata kile kisukari cha kurithi.

Namna ya kutumia majani ya manjano kujitibu kisukari

• Tafuna majani freshi ya manjano 7 mpaka 10 kila siku asubuhi.
• Tumia majani ya manjano kwenye kila chakula unachopika kila siku.

4. MSHUBIRI (Aloe Vera) 

 

Wakati mshubiri umekuwa ukitumika kwa miaka mingi katika kutibu kisukari, baadhi ya tafiti za hivi karibuni zimeonyesha kuwa mshubiri unao uwezo pia katika kushusha kiwango cha damu sukari na mafuta katika mzunguko wa damu kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na kisukari. Mshubiri umethibitika katika kutibu kisukari cha aina ya kwanza na hata cha aina ya pili.

Jinsi ya kuandaa mshubiri kutibu kisukari

Changanya vifuatavyo:
• Jeli ya mshubiri kijiko cha chai 1
• Unga wa majani ya matunda ya damu ya mzee kijiko cha chai 1
• Unga wa manjano kijiko cha chai 1
Kunywa mchanganyiko huu kila siku kabla ya chakula cha mchana na jioni

5. MAJANI YA MUEMBE

 

Wakati tunda la embe halina uwezo wa kutibu kisukari, majani ya mti wa muembe yanao uwezo huo! Waganga wengi wa Nigeria wamekuwa wakitumia sana majani ya muembe katika kutibu kisukari. Yanao uwezo wa kupunguza ufyonzwaji wa glukozi katika utumbo mkubwa hivyo kusaidia kupunguza usawa wa sukari katika damu. Pia yana uwezo mkubwa katika kudhibiti kiwango cha mafuta katika damu.

Namna ya kuandaa

• Loweka majani 10 mpaka 15 ndani ya nusu lita ya maji kwa usiku mmoja. Chuja maji haya asubuhi mapema na uyanywe kabla ya kula chochote. Subiri lisaa limoja lipite ndipo ule chakula cha asubuhi.
• Kausha majani ya muembe kwenye kivuli. Yatakapokuwa yamekauka kabisa, yasage kupata unga wake na hifadhi unga huu katika chombo kisafi na kisha lamba unga huu nusu kijiko kidogo cha chai kila siku kabla ya chakula cha mchana na jioni.

6. MREHANI

 

Mrehani (basil) una faida nyingi sana kiafya. Nje ya kudhibiti kisukari, Mrehani pia una sifa na uwezo katika kudhibiti asthma, kuondoa mfadhaiko, kudhibiti bakteria, kudhibiti virusi, kudhibiti vivimbe, kuondoa sumu mwilini, kudhibiti asidi tumboni, na kuongeza kinga ya mwili. Mrehani huzisaidia pia seli za kongosho kufanya kazi zake vizuri na kusaidia utolewaji au uzarishwaji mzuri wa insulini.
Jinsi ya kuutumia mrehani kutibu kisukari
• Tafuna majani mawili mpaka manne ya mrehani kila siku asubuhi kabla hujala chochote.
• Ponda majani ya mrehani kupata juisi yake kama kijiko kimoja hivi cha chai na unywe kila siku asubuhi kabla ya kula kitu chochote.


7. BAMIA

 

Bamia zina kiasi kingi cha vitamini A, B6, C, K, magnesium, potassium, zinki, na faiba. Bamia ina uwezo mkubwa katika kusawazisha usawa wa sukari mwilini. Mbegu za Bamia zina kidhibiti kiitwacho alpha-glucosidase ambacho huzuia wanga kujibadili kuwa glukozi. Faiba iliyomo kwenye bamia husaidia kurekebisha kiwango ambacho sukari humeng’enywa katika utumbo mkubwa.
Jinsi ya kutumia Bamia katika kujitibu Kisukari
Mahitaji:
• Bamia 2 mpaka 3
• Maji glasi 1
Jinsi ya kuandaa:
• Zisafishe bamia vizuri kabisa.
• Ondoa au ikate sehemu ya kichwa na mkia katika bamia na utupe. Kisha kata kila bamia katikati kwa urefu ili kupata vipande 2, hivyo utapata jumla vipande 4 kwa bamia hizo 2.
• Hivyo vipande 4 viweke ndani ya glasi iliyojaa maji, funika na uache hivyo kwa usiku mmoja.
• Asubuhi na mapema kunywa hayo maji yote yaliyokuwa na bamia kabla ya kula kitu kingine chochote. Ukiweza unaweza kula hata hizo bamia pia. Bamia mbichi zinafaida zaidi mwilini kuliko zilizopikwa.
• Fanya hivi kila siku kwa miezi kadhaa.

8. MBEGU ZA KATANI

 

Mbegu za katani zina kiasi kingi cha mafuta mhimu sana yajulikanayo kama “essential omega-3 fat alpha-linolenic acid (ALA)’’, pia zina protini, faiba na muunganiko wa mmea uitwao ‘lignans’. Hii lignans hufanya kazi kama kiuaji sumu au kwa maneno mengine hufanya kazi ya kuondoa sumu mwilini. Baadhi ya tafiti zimeonyesha kuwa mbegu za katani zinao uwezo wa kusawazisha usawa wa damu sukari mwilini kwa vile zina kiwango kikubwa cha faiba ndani yake. Mbegu za katani zinasaidia katika kazi za kumeng’enya chakula, pia husaidia katika ufyonzaji mzuri wa mafuta na sukari. Kama unatumia mara kwa mara hizi mbegu za katani, kiasi chako cha sukari chaweza kushuka hadi asilimia 28 kwa wakati mfupi.

Jinsi ya kutumia mbegu za katani katika kutibu kisukari

• Ongeza kijiko kikubwa kimoja cha unga wa mbegu za katani ndani ya glasi ya maji au maziwa na unywe wakati wa chakula chako cha asubuhi.
• Ongeza kijiko kidogo kimoja cha chai cha unga wa mbegu za katani katika nafaka zako unazotumia wakati wa chakula cha asubuhi.
• Ongeza pia unga wa mbegu za katani katika supu.

9. Chai ya Majani ya Mpapai

 

Majani ya mpapai ni mazuri katika kuongeza ufanisi wa insulini. Ni mazuri kwa watu wenye kisukari cha aina ya pili. Pia majani ya mpapai husaidia kupunguza matatizo yawezayo kuwatokea watu wenye kisukari, matatizo kama vile mafuta kwenye ini, matatizo katika kibofu cha mkojo na pia husaidia kupunguza mfadhaiko/stress. Kuna faida nyingine kubwa zaidi ya kutumia majani ya mpapai ambayo ni uwezo wake katika kutibu vidonda vitokanavyo na kisukari kwa haraka zaidi. Waganga wengi wa tiba asili kutoka Japani na Australia Na wengine wengi toka mataifa mbalimbali wamekuwa wakitumia majani ya mpapai kutibu kisukari kwa miaka mingi sasa.
Mahitaji:
• Majani 10 ya mpapai
• Maji lita 2

Maandalizi:

• Tumbukiza hayo majani ya mpapai katika maji.
• Chemsha hayo majani katika maji kwenye moto hadi maji yatakapobaki nusu yake (lita 1).
• Ipuwa na uache ipowe
MENGI ZAIDI ENDELEA KUTEMBELEA BLOGG HII
DAWA ZA ASILI JITIBU PRESHA YA KUPANDA NA KISUKARI KWA KUTUMIA TIBA HII YA ASILI : 

 Tiba inasaidia pia kuyeyusha mafuta yasiyo hitajika mwilini. 

Kinywaji  hiki  cha  ajabu  kitakusaidia  kushusha  presha, kuyeyusha  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini, kupambana  na  kisukari  na  kuimarisha  mfumo  wa  mmen’genyo  wa  chakula  katika  mwili  wako.
Mahitaji
    • Kijiko 1 kidogo  cha  mdalasini
    • Vijiko  viwili  vikubwa  vya  apple  cider  vinegar
    • Kijiko  kimoja  kikubwa  cha  asali  mbichi.
    • Vijiko  viwili  vikubwa  vya  juisi  ya  limao.
    • Glasi  moja  ya  maji
MATAYARISHO :
Weka   vitu  vyote  hivyo  kwenye  blender  na  usage  kwa  pamoja  kasha  uhifadhi  kwenye  chombo  kisafi  na  salama.
MATUMIZI
Kunywa  dawa  yako  kila  siku  asubuhi  kabla  haujatia  kitu  chochote  tumboni.
TENGENEZA   MCHANGANYIKO  WAKO  KILA  SIKU  KWA  SABABU  NI  RAHISI  KUTENGENEZA.
Matokeo  ya  kutumia  mchanganyiko  huu  yatakuwa  ya  kushangaza  na  kustaajabisha.
 DAWA ZA ASILI ZA KUTIBU MAGONJWA MBALIMBALI

 Tengeneza dawa za magonjwa mbalimbali ukiwa kwako nyumbani kupitia maelekezo yafuatayo......
Dawa hizi ni asili kabisa na hazina madhara kabisa

MAGONJWA NA JINSI YA KUYATIBU
(1)PUMU-
Matumizi;(a)hutibiwa kwa kutumia;simbi zaidi ya 20,ndimu nyingi na asali.Kunywa mchanganyiko huu kijiko 1 mara3 kwa siku hadi upone.AU kula vitunguu maji kwa wingi
(b)Pembe ya mbuzi-kausha kisha usage na unga wake changanya na asali na ulambe mara 3 kwa siku
(2)NGUVU ZA KIUME-
Hutibiwa kwa kutumia;
(a)kitunguu swaumu-
Matumizi;ponda na changanya na asali ya njano na ulambe asali hiyo kijiko1 mara3 kwa siku tumia mchanganyiko huu kwa wiki 2.
(b)tende na rose-
matumizi;changanya na maziwa na kisha kunywa wiki1-wiki3.
(c)mchele mkavu-
(d)Tikiti maji,tangawizi,pilipilinafaka halisi,mbogamboga za majani
Matumizi;tafuna mchele kidogo lisaa limoja kabla ya kujamiiana utarudiwa na nguvu zako.
KIFUA/KUKOHOA-
Hutibiwa kwa kutumia mchanganyiko wa;asali,kitunguu maji,kitunguu swaumu na tangawizi;
Matumizi;twanga mchanganyiko huu pamoja kisha ndio utumie.
(3)MAGONJWA YA MOYO-
Matumizi;kunywa juisi ya vitunguu maji kwa wingi.
(4)MAPAFU-
Matumizi;kula zabibu au kunywa juisi yake kwa wingi kila siku.
(5)GESI-
Matumizi;kunywa maji glasi8 au zaidi kwa siku.
(6)MAWE KATIKA KIBOFU CHA MKOJO-
Matumizi;kula chakula kilichopikwa na manjano.
(7)UVIMBE KATIKA SEHEMU ZA SIRI NYUMA-
Matumizi;paka alovera mahali penye uvimbe mara 3 kwa siku.
(8)KUPATA CHOO KIKUBWA-
Matumizi;kunyia chai ya tangawizi
(9)KICHOMI-
Matumizi;kula ndizi mbivu kila siku.
MAJIPU NA VIDONDA VISIVYOPONA-
Matumizi;binzari ya manjano koroga katika maji upate uji mzito kisha paka sehemu iliyoathirika mara2 kwa siku.AUchanganya zafarani kiasi na unga wa risasi na weka maziwa ya mbuzi kidogo kisha paka kwenye kidonda.
(10)MAUMIVU MAKALI TUMBONI-
Matumizi;changanya vijiko2 vya tangawizi na castro oil kisha kunywa mara 2 kwa siku.
(11)MIFUPA ILIYOVUNJIKA-
Matumizi;kula nusu nanasi kila siku hadi upone.AU kaanga vitunguu maji na uboho(rojorojo)
(12)MAUMIVU YA VIUNGO/MGONGO-
Vifaa;mafuta ya simsim,haba souda,na pilipili manga
Matumizi;chemsha,chuja na paka kwenye maeneo yanayouma yakiwa na uvuguvugu.
(13)KUTAPIKA DAMU-
Matumizi;weka kuzubara katika siki kali masaa24,ongeza sukari na chuja kisha unywe kutwa mara3
(14)KUSAGA CHAKULA NA KUIMARISHA TUMBO DHAIFU-
Vifaa;habasouda vijiko2, pilipili manga2,karafuu2
Matumizi;changanya kisha kunywa kijiko1 cha chai ndani ya kinywaji chochote cha uvuguvugu
(15)KIFUA/MARADHI-
Vifaa;juisi ya figili kikombe cha kahawa,kijiko kikubwa cha asali
Matumizi;changanya na maji ya moto kikombe cha chai yaache yapoe ndio unywe kutwa mara2 asubuhi na jioni.
(16)KIKOHOZI CHA MUDA MREFU-
Vifaa;khardal,asali safi ya nyuki.
(17)KUONDOA COLESTEROL-
Vifaa;tembe 3,kitunguu swaumu,kijiko1 cha zaatari,maji lita1
Matumizi;chemsha kidogo kunywa kikombe1 mara3 kwa siku.
(18)HIGH BLOOD PRESSURE/LOW BLOOD PRESSURE-
Vifaa;papai na tangawizi
Matumizi;sagapapai na tangawizi kamua juisi yake kunywa kutwa mara2 AU chemsha na kunywa juisi ya mmung'unya mara3 kwa siku
(19)KIKOJOZI-
Vifaa;ufuta mweusi na maziwa
Matumizi;saga ufuta mweusi na unga wake koroga kijiko1 ndani ya maziwa kunya mara2 kwa siku asubuhi na jioni mpaka upone
(20)HEDHI ILIYOKITHIRI/HEDHI KWA WINGI-
Matumizi;koroga unga wa ufuta mweusi ndani ya maji ya moto kisha kunywa AU chukua unga wa giligilani glasi1 chemsha katika nusu lita ya maji kisha kunywa nusu glasi mara3 kwa siku.
(21)KISUKARI-
Matumizi;chukua kijiko1 cha mdalasini weka katika kikombe cha kahawa kunywa kutwa mara3 kwa siku40 AU tengeneza juisi ya bitter gourd kunywa kila siku
(22)MAUMIVU YA MIGUU NA MAGOTI-
Matumizi;chukua kijiko1 kidogo cha zafarani changanya katika chai ya moto kunywa kutwa mara3
(23)KUZUIA MIMBA KUTOKA-
Matumizi;chukua kijiko 1 cha unga wa amla changanya na asali,kunywa kwa muda wa wiki1
(24)KUACHA SIGARA-
Matumizi;chukua hamira changanya vijiko 2 katika glasi1 ya maji na unywe pamoja na unga wake,kunywa glasi1 kutwa mara3
(25)KICHWA-
Matumizi;kula samaki na tangawizi
(26)KUVIMBIWA-
Matumizi;kula ndizi mbivu
(27)BARIDI YABISI-
Matumizi;kula tangawizi
(28)KIBOFU-
Matumizi;kula kunazi nyekundu
(29)BP-
Matumizi;zabibu nyeusi1kg,giligilani nusu,twanga kisha uchemshe na kunywa nusu glasi mara 3
(30)KWIKWI-
Matumizi;twanga hiliki changanya na maziwa kisha kunywa glasi moja
(31)DEGEDEGE-
Matumizi;ponda vitunguu swaumu kisha mpake  mwenye tatizo hilo na uichome na mfukizie
(32)UGONJWA WA KUSAHAU-
Matumizi;chukua zabibu kavu changanya na kungumanga na utafune mara2 kwa siku21
(33)MAWE KATIKA FIGO-
Matumizi;kitunguu maji chekundu,cheupe na njano,kata vipande4 kila kimoja weka vipande hivyo katika sufuria baada ya kuvisaga acha ichemke kisha kunywa jusi yake
(34)DAMU PUANI-
Vifaa;siki,limao,chumvi
matumizi;chukua chumvi kijiko kidogo weka katika glasi changanya na siki mpaka  chumvi iyeyuke ,kamulia limao nusu tumia siku3 mpaka 4 mfululizo 
TIBA MBADALA KWA KUTUMIA MBOGAMBOGA NA MATUNDA
(1)BOGA-Lina vitamini B kwa wingi
HUTIBU;
a.Huupa mwili nguvu
b.Huondoa tatizo la kufunga choo
c.Hurekebisha utolewaji wa nyongo mwilini
d.Huongeza nguvu za kiume
e.Husaidia kuvunja nguvu za sumu mwilini
f.Husaidia kupata mkojo hivyo kusafisha figo
g.Husaidia kuondoa mawe kwenye figo(Kidney stone)
h.Linafaa kwa wagonjwa wa kisukari
i.Husaidia kuimarisha glandi za kiume zitoazo mbegu za uzazi(PROSTATE GLAND
MAANDALIZI
-Chukua boga lililokomaa na katakata lisage kwenye blender(kama huna blender waweza kuliponda kwenye kinu safi na likishalainika ongeza maji kidogo kusudi upate juice yake.Wakati unakamua juice usiondoe mbegu na kiini.
NB.MAANDALIZI HAYA HUTEGEMEA UGONJWA UNAOTAKA KUUTIBU
(2)KAROTI-Ina vitamini nyingi mbalimbali
HUTIBU;
a.kulainisha tumbo
b.Inapigana na kutibu upungufu wa damu
c.Inasafisha damu
d.Inasaidia kutibu uvimbe wa saratani
e.Inatibu baridi yabisi
f.Inatibu chunusi,vidonda tumbo,koo,macho na kibofu
MAANDALIZI;
-Chukua karoti kilo1 ponda iwe laini na kisha uchemshe kwa dakika 15 ndani ya maji lita 1 na nusu au mbili chuja,kunywa juisi yake kwa kutibu vidonda tumbo au saratani ya tumbo,saratani ya kizazi tumia nusu kikombe cha chai miezi 3 mpaka 6,kwa kurembesha uso nawia juisi yake kila asubuhi mfululizo kwa siku 5.
(3)UNGA WA MKAA-
Unaweza kupata kupata kutoka kwenye mti wa mkuyu,kifuu cha nazi,msonobari au mkaratusi
INATIBU;
a.Kuumwa na nyoka
b.Kunywa sumu
c.Uvimbe
d.Kutapika,kiungulia,macho,kuharisha na kuhara damu ,kusaga chakula,vidonda tumbo,tindikali na kuungua
MAANDALIZI
a.Choma kifuu cha nazi hadi kiwe mkaa
b.Saga uwe unga(kwa miti tumia magome)
-Chukua kijiko 1 kikubwa cha unga na koroga katika maji safi ya kunywa ya vuguvugu kikombe 1 kunywa kabla ya kula kwa kutibu vidonda tumbo,kutoa asidi
KUUMWA NYOKA-
-Shona kifuko cha kitambaaa.
-Chota unga wa mkaa kijiko kikubwa na uweke ndani ya kifuko na tia maji kidogo na ufunge na nyingine ndani ya maji vuguvugu kikombe 1 uwe kama uji na umpe anywe kwa mtu aliyekunywa sumu tumia njia hiyo ya kunywa
MACHO-
-Weka katika kifuko kama hapo juu na ufunge kwenye jicho ,fanya hivyo kwa siku 3 mfululizo wakati wa usiku.
(4)GILIGILANI-
Inatibu tumbo,moyo na hedhi nk
MAANDALIZI
-Vijiko 2 vikubwa vya giligilani iliyosagwa ndani ya maji lita 1 kisha chemsha kwa dakika 10 na kunywa nusu kikombe kutwa mara 3 kwa siku 5 
(5)NYONYO-
-Majani yanatibu kifua kikuu na uvimbe wa miguu
-Mizizi ni dawa ya mafindofindo,macho ya njano,uvimbe,kisonono na kaswende
-Kikonyo chake ni dawa ya kwikwi-jaza maji ya baridi katika kikombe cha chai na kikonyo mpe mgonjwa anywe kila baada ya dakika 3 mpaka kwikwi iishe
-Kunywa punje yake na maji glasi kwa siku kwa muda wa siku 5 inatibu MOTODASI AU MOTO WA MUNGU
-Tumia majani kwa kupasha moto na kufungia miguu inayouma au kukandia miguu inayouma
-Kwa magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende mizizi kiasi na chemsha ndani ya maji nusu lita kisha kunywa kikombe cha chai kutwa mara 3 kwa muda wa siku 5
(6)SWAUMU-
HUTIBU
a.Kuumwa kichwa
b.Kibofu cha mkojo
c.Matatizo katika damu,chunusi nk
d.Macho kutoona vizuri,pumu,figo,ukurutu(fungus),baridi yabisi,majipu nk
NAMNA YA KUITUMIA KUTIBU BAADHI YA MAGONJWA;
A.Shinikizo la damu:Tumia juisi ambayo waweza kuichanganya kwenye saladi kama chakula cha pembeni
MAANDALIZI
-Menya chengachenga za kitunguu swaumu zipatazo 10-30 na kuziponda na zikishalainika na kutoa maji kaua juisi yake na uweke kwenye chombo kisafi
-Chukua malimao 2 au 3 uyakamue upate juisi yake na ulichanganye na ile ya kitunguu swaumu na uiache usiku kucha na asubuhi koroga vizuri na anza kuitumia kwa kunywa kijiko 1 cha chai kila baada ya saa moja na hakikisha hukiachi kijiko hicho ndani ya juisi kwani hutengeneza sumu.Magonjwa ya kichwa pia hutibiwa kwa njia hii kama unataka kuitumia kutibu magonjwa kwa muda mrefu waweza kuichemsha na kuiweka katika chupa safi pindi inapopoa na utumie kikombe cha chai kila asubuhi na jioni na pia waweza kutumia saladi yake wakati wa chakula.
B.Ukurutu(fungus)-
-Twanga kitunguu swaumu na weka kwenye eneo lililoathirika na uifungie kwa bandeji na kuacha kwa nusu saa na endelea kufanya hivyo kwa muda wa wiki mbili hii ni pamoja na magonjwa ya ngozi
C.Vidonda mdomoni,mafindofindo,kuharisha,maumivu ya tumbo na kunyonga-
-Kwa matatizo mengine ya kifua kula kikonyo kimoja cha kitunguu swaumu kutwa mara tatu kulingana na ukubwa wa kitunguu.
(7)NANASI-
-Nanasi lina vitamini A,B,C pia lina madini ya chuma ,calcium, na copper ambayo ni muhimu kwenye mifupa,meno,neva na misuli(MUSCELS)
HUTIBU;
a.Matatizo mbalimbali ya tumbo,magonjwa ya bandama(SPILEN),ini,utumbo mwembamba,homa,magonjwa ya midomo(VIDONDA),magonjwa ya koo,ugonjwa wa kusahau,maradhi ya akili,hali ya kukosa mori(LOW SPIRIT)
b.Aidha nanasi huondoa matatizo ya wanawake ambayo husababishwa na upungufu wa shughuli za homoni au makosa fulani katika sehemu ya yai ,huondoa shida ya kufunga choo,baridi yabisi,upungufu wa damu(ANEMIA) na maambukizo kwenye maungio ya mifupa(ARTHRITIS).Aidha kwa kula au kunywa juisi ya nanasi husaidia akina mama wanaonyonyesha walio na maziwa kidogo na hata wale wajawazito wanashauriwa kutumia mananasi
-Pia ni kichocheo kizuri katika kupona haraka kwa mifupa iliyovunjika.
BIRINGANYA(EGGS PLANTS)-
-Tunda la biringanya ukilipika kama mboga linatibu vidonda tumbo na linasaidia kupata usingizi.Kwa wale wenye tatizo la kukosa usingizi (INSOMNIA)wanashauriwa kula biringanya kwa wingi.
-Biringanya huharakisha kupona magonjwa na kuleta afya nzuri mwilini.Ikumbukwe kuwa usingizi ni kitu muhimu sana kwa afya ya mwili wa binadamu na ustawi wake.
-Kwa kutumia tunda hili kama mboga katika mlo ulao husaidia kunenepesha kwa wale wanaotaka kunenepa.hakikisha katika mlo ulapo na ufurahie chakula unachokila kila siku ,tumia kwa muda wa mwezi mmoja utaona matokeo yake.
KWA USHAURI, MAONI,MASWALI NA TIBA wasiliana kupitia

Jumanne, 5 Aprili 2016


Maumivu ya Tumbo Wakati wa Hedhi

Maumivu ya tumbo chini ya kitovu husumbua wasichana na wanawake wengi wakati wa hedhi zao. Maumivu haya yanaweza kuwa kidogo au wakati mwingine kuwa makali sana kiasi cha kumfanya ashindwe kufanya shughuli nyingine.
Maumivu ya Tumbo Yanavyotokea
Maumivu haya hutoka kwenye tumbo la uzazi. Wakati wa hedhi ukuta wa mji wa mimba huanza kubomoka na kisha kusababisha damu kutoka. Wakati ukibomoka misuli ya tumbo la uzazi hukaza na kusinyaa, kukaza huku ndiko kunakosababisha maumivu wakati wa hedhi.
Licha ya maumivu haya kusababishwa  na kukaza kwa tumbo la uzazi, kuna magonjwa mengine yanaweza kuchangia kuleta hali hii. Mara nyingi maumivu ya namna hii huwa makali zaidi kiasi cha kumfanya mtu ashindwe kuendelea na shughuli zake. Hali kama;
Endometriosis (uwepo wa tishu za ukuta wa mji wa mimba sehemu nyingine kama kwenye ovari au misuli ya mji wa mimba)
PID (Maambukizi kwenye via vya ndani vya uzazi)
huweza kuchangia kuleta hali hii.
Matibabu
Matibabu ya hali hii inategemea na kiasi cha maumivu. Kama maumivu ni kidogo, yanaweza kuvumiliwa na baada ya hedhi kuisha. Njia nyingine za kupunguza maumivu wakati wa hedhi;
  • Kukanda tumbo kwa maji ya moto
  • Kunywa kinywaji chenye moto
  • Usinywe vinywaji vyenye caffeine kwa wingi kama kahawa
  • Tumia dawa za kuzuia maumivu kama Paracetamol au Buscopan.

Unapoona unapata maumivu makali sana ni vizuri uonane na mtaalamu wa afya kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

Maumivu ya Tumbo Wakati wa Hedhi & Vyakula vinavyopunguza mauvimu wakati wa hedhi

Maumivu ya Tumbo Wakati wa Hedhi &

Vyakula vinavyopunguza mauvimu wakati wa hedhi

Maumivu ya tumbo chini ya kitovu husumbua wasichana na wanawake wengi wakati wa hedhi zao. Maumivu haya yanaweza kuwa kidogo au wakati mwingine kuwa makali sana kiasi cha kumfanya ashindwe kufanya shughuli nyingine.
Maumivu ya Tumbo Yanavyotokea
Maumivu haya hutoka kwenye tumbo la uzazi. Wakati wa hedhi ukuta wa mji wa mimba huanza kubomoka na kisha kusababisha damu kutoka. Wakati ukibomoka misuli ya tumbo la uzazi hukaza na kusinyaa, kukaza huku ndiko kunakosababisha maumivu wakati wa hedhi.
Licha ya maumivu haya kusababishwa  na kukaza kwa tumbo la uzazi, kuna magonjwa mengine yanaweza kuchangia kuleta hali hii. Mara nyingi maumivu ya namna hii huwa makali zaidi kiasi cha kumfanya mtu ashindwe kuendelea na shughuli zake. Hali kama;
Endometriosis (uwepo wa tishu za ukuta wa mji wa mimba sehemu nyingine kama kwenye ovari au misuli ya mji wa mimba)
PID (Maambukizi kwenye via vya ndani vya uzazi)
huweza kuchangia kuleta hali hii.
Matibabu
Matibabu ya hali hii inategemea na kiasi cha maumivu. Kama maumivu ni kidogo, yanaweza kuvumiliwa na baada ya hedhi kuisha. Njia nyingine za kupunguza maumivu wakati wa hedhi;
  • Kukanda tumbo kwa maji ya moto
  • Kunywa kinywaji chenye moto
  • Usinywe vinywaji vyenye caffeine kwa wingi kama kahawa
  • Tumia dawa za kuzuia maumivu kama Paracetamol au Buscopan.

Unapoona unapata maumivu makali sana ni vizuri uonane na mtaalamu wa afya kwa ajili ya uchunguzi zaidi.


Vyakula vinavyopunguza mauvimu wakati wa hedhi


Kuna baadhi ya wanawake ambao hupata maumivu tofauti wakati wa siku za hedhi kila mwezi. Maumivu  haya makali na mateso tosha kabisa kuvuruga ratiba zao za kazi, kulea familia na hata kuacha kufanya shughuli za kujiingizia kipato. Wengi hutumia dawa na kupata nafuu, wengine hawapendi dawa maana huleta madhara yasiyotegemewa mwilini na kulazimika kuvumilia mateso hadi yanapoisha.
Leo katika Makala yetu tunaangalia jinsi ya kupunguza maumivu ya hedhi kwa kuangalia vyakula mbadala vinavyoweza kutumika kama dawa. Vyakula ni njia mbadala sababu hutumika kupunguza kiwango cha homoni au kemikali zinazopekelea kuleta mauvimu mwilini.
Ili kuwa na uelewa mzuri, tuangalie kiini cha tatizo hadi kupelekea maumivu Makati wakati wa hedhi, halafu tuangalie vyakula vinavyoweza kutatua tatizo.

1. Chanzo cha maumivu

Utafiti unaonyesha kuwa kemikali aina ya prostaglandins ndio chanzo cha maumivu wakati wa hedhi kwa wanawake. Kemikali hii hutengenezwa na chembechembe za mafuta yapatikanayo kwenye seli. Kazi ya kemikali hii ni kusababisha uvimbe, kusinyaa kwa misuli, kusinyaa kwa mishipa ya damu, kuganda kwa damu, na maumivu.
Muda mfupi kabla ya kuanza hedhi, ukuta wa seli zinazotengeneza prostaglandins hujijenga kwenye mji wa mimba. Wakati wa hedhi, seli hizi hubomoka na kusababisha prostaglandins kutoka kwa wingi. Hii husababisha mishipa ya damu kusinyaa, misuli kubana na kupelekea maumivu makali. Kemikali za prostaglandins huingia pia kwenye mfumo wa damu na kusababisha maumivu ya kichwa, kizunguzungu, kichefuchefu, kutapika na kuharisha.
Kiwango cha prostaglandins ni kikubwa sana kwa wanawake wanaopata maumivu wakati wa hedhi kuliko wale wasiopata maumivu. Dawa zinazoshauriwa wakati wa hedhi, mfano: Ibuprofen (Motrin), au naproxen (Aleve), hufanya kazi ya kupunguza kiwango cha prostaglandins mwilini.
Wanawake wengi wanaotumia vidonge vya uzazi wa mpango hupunguza pia maumivu ya hedhi sababu vidonge huzuia ukuaji wa seli zinazozalisha prostaglandins. Lakini inawezekana pia kufikia malengo kwa kuangalia aina za vyakula.

2. Vyakula vinavyopunguza maumivu

Vyakula vinaweza kufanya kazi ya kupunguza mauvimu ya hedhi kwa kurekebisha kiwango cha homoni ya oestrogen mwilini. Oestrogen ni homoni ya kike inayotolewa mwilini kwa shughuli za kuzalisha seli. Oestrogen hutolewa kwa viwango tofauti kutegemeana na muda wa mzunguko wa mwanamke - huzalishwa kwa wingi sana baada ya hedhi na muda mfupi kabla ya hedhi kuanza.
Ili kuweza kupunguza maumivu, ni vizuri kuzingatia:
  • Punguza vyakula vyenye mafuta. Vyakula vya mafuta husababisha oestrogen izalishwe kwa wingi, hivyo kuzalisha seli nyizi zaidi kwenye mji wa mimba.
  • Kula vyakula vyenye nyuzinyuzi (fiber). Nyuzi nyuzi husaidia kusafisha mwili kwa kuondoa oestrogen kirahisi toka mwilini, hivyo kupunguza kiwango chake kwenye damu na kuzuia kukua kwa seli kwenye mji wa uzazi.
  • Acha kula vyakuja jamii ya nyama. Vyakula jamii ya nyama havina nyuzi nyuzi (fiber) hivyo oestrogen hubaki kwa kiasi kikubwa mwilini. Pia vyakula hivi vina viwango vikubwa vya mafuta ambayo ndio chazo kikubwa cha kuzalisha kemikali za prostaglandins.
  • Kula nafaka, mboga za majani na matunda kwa wingi. Jamii hii ya vyakula ina nyuzi nyuzi (fiber) inayotumika katika kupunguza kiwango cha oestrogen mwilini.
  • Acha kula vyakula vya kusindika, visivyo asili maana huwa na mafuta mengi yanayoweza kukusababisha matatizo zaidi.
Kubadilisha vyakula inasaidia sana. Wanawake wengi hufurahia matokeo na hata kuwaza kwanini wasingefanya hili zoezi mapema. Cha muhimu kuzingatia ni kula chakula bora na kupunguza uzito wa mwili ili uwe na afya bora. Ni muhimu kuacha kabisa kula vyakula vyenye mafuta na nyama, kiwango kidogo sana cha hivi vyakula huweza kupelekea madhara makubwa wakati wa hedhi.
Ni muhimu kuzingatia kula:
  • Vyakula vya jamii ya nafaka
  • Mboga za majani
  • Matunda
Acha kabisa kula:
  • Nyama na vyote vinatokana na wanyama: maziwa, mayai, nyama, na samaki
  • Vyakula vya mafuta na aina zote za mafuta: chips, peanut butter etc
Je wewe unapata maumivu wakati wa hedhi au unafahamu jinsi ya kuondoa maumivu?

Jumatatu, 4 Aprili 2016

11 Ways To Increase Your IQ Score (Intelligence Quotient)

11 Ways To Increase Your IQ Score (Intelligence Quotient)

 

 IQ (Intelligence Quotient) is a measure developed from a series of standardized test to measure and compare intelligence among humans. Having a high IQ doesn’t really mean you’re going to be successful in life, but it certainly can help make certain aspects of life easier – especially when it comes to scholastic activities. Although it was once thought that IQ remained static throughout a person’s adulthood, there is some evidence that people can increase their intelligence quotient.

Activities that are healthy for your brain are generally related to helping boost IQ. There are links between IQ scores and: social status, parenting, mortality, and morbidity. Additionally, IQ scores can sometimes predict: job performance, educational advancement, income, whether you commit a crime, and special needs. As a human population, IQ has been rising at an average rate of three points per decade since the 1930’s – this is called “The Flynn effect.”

11 Ways to Increase IQ

1. Exercise

People who exercise tend to have higher IQ scores than those who don’t. On average, individuals that take care of their bodies tend to be more intelligent than the chronic couch potatoes. Exercise is known to stimulate brain cell growth through a process called neurogenesis and flood the brain with pleasurable neurotransmitters like dopamine. Fitter individuals in high school are more likely to go on to college and do well there.
A lot of people don’t realize how powerful an effect rigorous exercise can have on decreasing stress and improving cognitive performance. I tend to think that exercise is one of the easiest ways to boost your IQ simply because it’s free and you can do it any time that’s convenient.

2. Stimulants and Nootropics (Smart Drugs)

Taking smart drugs like Adderall and NuVigil may help boost your IQ score. The abuse of these psychostimulants and cognitive enhancers is becoming more common these days to help people dominate the competition. They help people get into universities and graduate with good grades. These drugs will help you learn quicker and retain more information. There are many other enhancers like Ritalin on the market which stimulate the brain and boost brain power.
Any pill that increases your overall cognitive ability is going to help you improve your IQ score and performance on an IQ test. These are referred to by many as “smart drugs” for a reason. In my opinion, these boost mental brain power similar to taking steroids for improved physical abilities. Should you decide to take these medications to simply improve your cognition, just know that what comes up must come down; there’s no biological free lunch.
Eventually your tolerance is going to increase to the point where these no longer have an effect and withdrawal is generally tougher than most people admit. If there were one item on this list I would probably not want to get caught up in heavily, it would be the use of these smart drugs.  Read: “The Potential Dangers of Nootropics.”
Source: http://www.psych.upenn.edu/~mfarah/pdfs/PsychBullProof.pdf

3. Supplements

There are a variety of supplements that you can take to help boost your IQ. Will taking all of these supplements help you increase your IQ? Really the only way to find out is to experiment for yourself and see what happens. One of the most common ways to get a quick IQ boost is to drink some caffeine because it helps stimulate brain activity.
Caffeine + L-theanine – In combination these substances help improve performance on cognitively demanding tasks.
Creatine – Has been shown to help improve brain performance.

Ginkgo Biloba – Has been shown to help improve attention in healthy young volunteers.

Omega 3 Fatty Acids – Improves working memory. I’ve sorted out the best fish oil supplements and best krill oil supplements if you aren’t able to get sufficient dietary omega-3s.

4. Meditation

It is known that meditation can help decrease stress, improve mood, and light up brain activity. Additionally, it can increase performance on intelligence-related measures and increase IQ scores over time. There are many different types of meditation that can be practiced, but one that has been proven effective is Transcendental Meditation. Nearly all types of meditation will improve general brain functioning and cognition, so if you are already practicing your IQ and cognition should continue to improve.
Transcendental meditation involves sitting peacefully with one’s eyes closed and focusing on a specific mantra. This helps your brain focus on one specific thing at a time and can help improve overall focus. Although there are many different types of meditation, if you want to improve your IQ score, I would recommend a focus-oriented approach. In other words, choose a type of concentration meditation as opposed to mindfulness meditation.

5. Healthy Diet + Vegetarian?

Researchers have found that diet does play a role in IQ and brain development throughout childhood. The degree to which IQ is affected later in life by food choices isn’t as well documented. However, if you want to boost your intelligence, it is best to avoid eating processed foods. Individuals who eat a lot of processed foods tend to have lower intelligence scores than people who eat healthier non-processed items. The researchers found that diet influenced IQ regardless of other factors.
Another interesting finding was that individuals that reported being a vegetarian by age 30 had scored (on average) 5 points higher on IQ tests than those who were non-vegetarian. Since higher IQ’s are linked with: less obesity, healthier hearts, and living a longer life – some researchers suggest vegetarianism may play a role. Theres a link between healthier lives and IQ, and a link between higher IQ and vegetarianism. Does that mean there’s a link between vegetarianism and health? Possibly – more research needs to be conducted for me to believe that being a vegetarian increases IQ especially because I tend to think meats and fish are healthy for the brain.

6. Neurofeedback
Although there aren’t many studies linking neurofeedback with improvements in IQ scores, there is evidence that it can help increase intelligence among individuals with ADD and ADHD. People with ADD and ADHD tend to have slower brain wave activity in certain brain regions compared to normal individuals. Training their brains to speed up production of brain waves in specific regions can help them perform better and improve their intelligence scores.
Despite the fact that neurofeedback isn’t used much other than to help with cases of ADD and ADHD, it does have potential to improve cognitive performance in a normal brain as well. If the brain wave patterns are slightly abnormal on the EEG, uptraining SMR, low beta, or mid range beta may help improve intelligence.
Source: http://www.ncbi.nlm.nih.gov/pubmed/10457815

7. Brainwave Entrainment

In most therapies involving brain waves, the purpose is to help people who struggle with ADD and ADHD. People that don’t have any major problems with focus or concentration likely don’t need brain wave stimulation to help them improve their intelligence. Despite the fact that brainwave entrainment has only been studied in people with ADD and ADHD to determine whether it would boost IQ, it was effective and increasing the GPAs of college students.
Additionally, low levels of gamma brain waves have been linked to brain development problems and mental retardation. Gamma waves are the range higher than beta waves and at 40 Hz or 40 cycles per second, they are claimed to be associated with peak cognitive functioning – especially in regards to memory and perception. That does NOT necessarily mean that if you up-train gamma you will automatically become “in the zone” or develop an awesome memory.
I am a bit skeptical of most brainwave research out because it seems to be largely conducted and pushed by companies selling brainwave-related products. Based on what I’ve read it seems as though targeted uptraining of certain frequencies help individuals with ADD and ADHD more than anyone. There is still relatively little research involving brainwave entrainment in general – more needs to be conducted.
I’ve written up an article documenting the benefits of brainwave entrainment as well as the types of brainwave entrainment on the market.  If you’re interested, consider reading those articles.  I’ve also highlighted some potential dangers of brainwave entrainment, so do not assume that it’s always a utopian option.  With the wrong type of training, you may reduce your IQ.
SPsychologicalEffectsBrainwaveEntrainment.pdf

8. Brain Games, Brain Training, Puzzles

Many people swear by doing crossword puzzles and sudokus to keep their brain as sharp as possible. Companies that sell brain related puzzles and games tend to market the fact that they will help you boost your IQ and become smarter. What these games have potential to do is give your brain some exercise. They make you think and put forth some mental effort which is a good thing.
  • Dual-N-Back training – This is a game that torches your working memory, and requires sustained time and effort.
  • Crossword puzzles – Crosswords make people think and can keep your brain stimulated.
  • Lumosity – There are specific brain training protocols on this website.
  • Puzzles – Other types of puzzles that make you think and focus are good for your brain.
  • Video games – Games like brain age and big brain academy may help your cognition.
  • Sudoku – This is a popular game involving logic and numbers.
It was found that “memory training” helped give kids an IQ boost. Most of these games will help stimulate brain activity, thinking, and memory. If you are going to use a brain game in attempt to boost your IQ, research the program and determine whether others have had success with it as well.

9. Enriched Environment

Some agree that one of the most important things for developing a higher IQ is to grow up in an enriched environment. Many believe that individuals who grow up in an enriched environment tend to be smarter and have a higher socioeconomic status than those who do not. Although I think genetics plays a big role in determining intelligence, I think growing up in an enriched environment during pivotal developmental years can play a role too.
  1. Active learning – Actively learning new things helps your brain learn and may help you make connections that before were not possible. Learning a new skill such as chess, how to play a sport, how to juggle, or anything new for that matter – may help your brain in ways you never thought possible.
  2. New experiences – In addition to actively learning or engaging your brain to learn new things, new experiences can also help rewire and increase your intelligence. Something like taking a trip to a foreign country, becoming fluent in their language, and lifestyle is going to have an influence on your brain.
Although heredity plays a major role in the development of IQ, there is evidence that environment still plays a role. It is best to stimulate your brain as much as possible while growing up before the brain reaches adulthood. There are plenty of studies conducted on enriched environment vs. non-enriched environment – the enriched environment will produce a higher IQ.

10. Intermittent Fasting (BDNF)

It has been proven that the act of Intermittent Fasting helps improve cognitive functioning in both mice and humans.  It works by increasing the amount of Brain-Derived Neurotrophic Factor (BDNF).  If you properly learn how to intermittently fast, you will be increasing your BDNF – which has been linked to improvements in both learning and memorization.  It is obvious that if you are able to improve your ability to learn as well as your memory, you should experience an overall boost in intelligence.  Ironically, the process of intermittent-fasting is also linked growing new brain cells.
Intermittent-fasting is nothing too complex.  It involves eating for a specific window of time, followed by a period of “fasting” or not eating for a period of time.  This can be done in windows of a specific number of hours, or this may be conducted on an alternative-day (i.e. every other day) basis.  Not only could intermittent fasting give you a boost in intelligence, it also seems to be physically healthy and is hypothesized to help prevent against neurodegenerative diseases like Alzheimer’s and Parkinson’s.

11. Reading
Reading is especially important if you want to boost the IQ of your children. Some non-scientific studies have shown that reading can increase a child’s IQ by up to 6 points. Generally I would take these studies with a grain of salt since they are not published in any major journals. However, the fact is that reading will stimulate thought, learning new vocabulary, and helps people make connections between certain events should be good for the brain.
Theoretically, reading material that is both stimulating and challenging should be able to help improve a person’s IQ score. Whether reading a lot of books or difficult material improves intelligence is certainly up for debate. Some people think books and reading ability is linked to IQ, while others disagree. Scientific studies need to be conducted in readers vs. non readers to help determine IQ. I would guess that individuals that read more had a higher level of intelligence, but that’s just a guess.
How much can you increase your IQ?
Only you can determine whether you work towards boosting your IQ. If you are already satisfied with your level of mental performance – that’s great. However, if you are a person who is constantly trying to improve in every aspect in order to get the most out of life, then you may want to try some of the things on the list above and make a conscious effort to increase your intelligence quotient.
The best way to do it would be to take an IQ test before practicing these items on the list religiously for 90 days, and then take another one after. Then compare the score of your IQ after you have been training your brain and determine whether your intelligence has increased.
Why I Think IQ is relatively static over a lifetime
I’m not going to fill people with false hope by preaching that they can become a brilliant Einstein by practicing the items on the list. I think that each person has potential to increase their IQ if they work at it – the degree of increase depends on the person. Despite newer research, I tend to think IQ is relatively static over time, especially throughout adulthood. Sure IQ is going to increase from childhood throughout teenage years and into adulthood, but it is going to reach a peak. Eventually with aging and inevitable cognitive decline, it will slightly decrease as the human body and brain reach their final years.
I would think that if you continuously stimulate your brain, you can increase your IQ, but maintaining this increased level of intelligence over the long term is probably unlikely. If your intelligence increases a little bit, that’s a plus. Don’t get too down on yourself if you don’t have a genius level IQ, rather focus on working with the skills that you do have and using them to the best of your ability.

15 Secrets and 10 Foods to Boost Your I.Q. in less than 30 Days

15 Secrets and 10 Foods to Boost Your I.Q. in less than 30 Days

 Intelligence comes in two forms: crystallized intelligence and fluid intelligence. Crystallized intelligence is stored-up information and how-to knowledge. This form of intelligence grows as you age. Fluid intelligence peaks in early adulthood and then begins to decline gradually with time. Psychologists now believe that this form of cleverness can be improved. By setting aside time to exercise your mind, you can become more creative, focus better, and solve problems quicker. Also, find out about the proper nutrients your brain needs for enhanced intelligence.


15 Secrets to Increasing I.Q.

1. Be Active
If you don’t exercise regularly, now is a good time to start. Exercise contributes to overall physical and mental health. Having a healthy body leads to development of intelligence.
2. Write
Some people find that a journal is a good way to organize thoughts. Simple writing helps you gain a new perspective when you go back and read what you wrote.
3. Meditate
Research shows that meditation makes you smarter. Meditation increases the ability of the brain to make physiological changes, increases gray and white brain matter, and enables “whole brain synchronization”. Whole brain synchronization allows the left side of the brain to be connected with the right hemisphere.
4. Think
Involve yourself with books, documentaries, or board games that require critical thinking skills. By challenging your current assumptions, you are making yourself smarter.
5. Read Every Day
Try to read something nonfiction at least 30 minutes each day. Reading increases your intelligence and keeps you well-informed.
6. Have Hobbies
Do the things you love on a regular basis. Whether it’s bowling, knitting, or fishing, the more fun you experience, the easier it will be for you to assimilate new information.
7. Study I.Q. Puzzles
I.Q. puzzles can be found at your local book store. To keep your mind sharp, go over these repeatedly.
8. Be Creative
Create something. Write an ebook, plant flowers, build a model car. Using your mind to create something improves your ability to think.
9. Explore New Cultures
Seek out different worldviews other than your own. Learn about other culture’s food, traditions, and language.
10. Play Competitive Games
Chess is a good example of a competitive game that adds to your cleverness. Log on to the Internet and play with others around the world. Facebook offers many competitive games.
11. Watch Specific TV Shows
Researchers have found that certain TV shows can help you improve intelligence. Watch shows that have overlapping plot strands, moral ambiguity, and a large number of primary characters.
12. Socially Network
According to a recent report in Discover Magazine, social interaction enhances synaptic activity of the brain.
13. Play Video Games
Moms across the world can all give a sigh of relief. Video games improve math abilities and classroom behavior.
14. Listen to Music
Recent research studies show there is a connection between listening to music and improved memory. Music listening also boosts skills in science and math.
15. Get Enough Sleep
Most people require between 7 to 8 hours of sleep each night. This time allows your brain to process the day by strengthening memories.

10 Foods that can Enhance Your I.Q.

1. Fish Oil
Whether you take supplements or eat wild salmon (or both), getting fish oil in your diet makes you smarter. Research shows that omega-3 fatty acids in fish oil are essential for brain function.
2. Vitamin B
The B vitamins improve memory and mood. Studies have shown that people who lack B vitamins in their bodies have greater mental decline. To get your Bs, eat turkey, beans, lentils, and bananas.
3. Breakfast
Dubbed “the most important meal of the day”, breakfast is brain food. Those who have a well-balanced breakfast show improved memory, creativity, focus, and overall performance.
4. Matcha
Matcha is a stone-ground, powered form of green tea, and it is an excellent food for increased mental alertness.
5. Antioxidants
These substances combat free-radicals in your body. To improve memory and problem solving, eat red kidney beans, blueberries, cranberries, and artichokes.
6. Ginkgo Biloba
Scientists have found that ginkgo biloba increases the blood flow to the brain to increase short-term memory, improve focus, and reduce dementia.
7. Avocado
This vegetable has monosaturated fat (the good kind), which increases blood flow. The brain needs blood to think. What’s more, avacados help lower blood pressure.
8. Meat and Fish
You find creatine in lean meat and fish. The body needs this substance for memory and intelligence. You can also buy creatine supplements at your local health food store.
9. Vitamin E
The E vitamin is necessary for brain health because it works as an antioxidant. Research has shown that Vitamin E delays the onset of Alzheimer’s disease. Eat leafy green vegetables, kiwi, and nuts to up your intake of this vital nutrient.
10. Ginseng
This root improves mental stimulation, memory, and brain function. One recent report indicates that ginseng protects the brain from toxins.

 

je? umerudi nyuma kiroho naunataka kuinuka tena?

je? umerudi nyuma kiroho naunataka kuinuka tena?

soma sasa na utambue siri ya kuinika tena.Hapa nimekuchambulia mistari mbalimbali ya bibilia nayoongelea swala la kurudi nyuma na hatua za kuchukua kuinuka tena. Mungu akusaidie uliekata tamaa ukarudinyuma uinuke tena. Naamini kupitia mistari hii utainuka tena na kushuhudia kwa utukufu wa Mungu


  • Lakini yeye aijua njia niendeayo; Akisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu. [Ayubu 23:10]
  • Kwa kuwa Bwana ampendaye humrudi, Kama vile baba mwanawe ampendezaye. [Mithali 3:12]
  • Na chombo kile, alichokuwa akikifinyanga, kilipoharibika mkononi mwake yule mfinyanzi, alikifanyiza tena kuwa chombo kingine, kama alivyoona vema yule mfinyanzi kukifanya. [Yeremia 18:4]
  • Je! Moyo wako waweza kuvumilia, au mkono wako waweza kuwa hodari, katika siku zile nitakapokutenda mambo? Mimi, Bwana, nimenena neno hili, tena nitalitenda. [Ezekieli 22:14]
  • Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba; [Mathayo 7:24]
  • Wala watu hawatii divai mpya katika viriba vikuukuu; na kama wakitia, vile viriba hupasuka, divai ikamwagika, na viriba vikaharibika; bali hutia divai mpya katika viriba vipya, vikahifadhika vyote. [Mathayo 9:17]
  • Na yule asiyejua, naye amefanya yastahiliyo mapigo, atapigwa kidogo. Na kila aliyepewa vingi, kwake huyo vitatakwa vingi; naye waliyemwekea amana vitu vingi, kwake huyo watataka na zaidi. [Luka 12:48B]
  • Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano; lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako. [Luka 22:31B, 32]
  • Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua. [Yohana 3:30]
  • Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi. [Yohana 12:24]
  • Kila tawi ndani yangu lisilozaa huliondoa; na kila tawi lizaalo hulisafisha, ili lizidi kuzaa. [Yohana 15:2]
  • Kaeni ndani yangu, nami ndani yenu. Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa peke yake, lisipokaa ndani ya mzabibu; kadhalika nanyi, msipokaa ndani yangu. [Yohana 15:4]
  • wala msiendelee kuvitoa viungo vyenu kuwa silaha za dhuluma kwa dhambi; bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai baada ya kufa, na viungo vyenu kwa Mungu kuwa silaha za haki. [Warumi 6:13]
  • Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu. [Warumi 12:1, 2]
  • Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku. Maana dhiki yetu nyepesi, iliyo ya muda wa kitambo tu, yatufanyia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana; [2 Wakorintho 4:16, 17]
  • Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili. [1 Wakorintho10:13]
  • Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili; (maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome;) [2 Wakorintho 10:3, 4]
  • Naye akaniambia, Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Basi nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, ili uweza wa Kristo ukae juu yangu. Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na ufidhuli, na misiba, na adha, na shida, kwa ajili ya Kristo. Maana niwapo dhaifu ndipo nilipo na nguvu. [2 Wakorintho 12:9, 10]
  • Nami niliaminilo ndilo hili, ya kwamba yeye aliyeanza kazi njema mioyoni mwenu ataimaliza hata siku ya Kristo Yesu; [Wafilipi 1:6]
  • Piga vita vile vizuri vya imani; shika uzima ule wa milele ulioitiwa, ukaungama maungamo mazuri mbele ya mashahidi wengi. [1 Timotheo 6:12]
  • Ushiriki taabu pamoja nami, kama askari mwema wa Kristo Yesu. [2 Timotheo 2:3]
  • Ndugu zangu, hesabuni ya kuwa ni furaha tupu, mkiangukia katika majaribu mbalimbali; mkifahamu ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi. [Yakobo 1:2, 3]
  • Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. [Yakobo 4:7]
  • Mnafurahi sana wakati huo, ijapokuwa sasa kwa kitambo kidogo, ikiwa ni lazima, mmehuzunishwa kwa majaribu ya namna mbalimbali; ili kwamba kujaribiwa kwa imani yenu, ambayo ina thamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto, kuonekane kuwa kwenye sifa na utukufu na heshima, katika kufunuliwa kwake Yesu Kristo. [1 Petro 1:6, 7]
  • Wapenzi, msione kuwa ni ajabu ule msiba ulio kati yenu, unaowapata kama moto ili kuwajaribu, kana kwamba ni kitu kigeni kiwapatacho. Lakini kama mnavyoyashiriki mateso ya Kristo, furahini; ili na katika ufunuo wa utukufu wake mfurahi kwa shangwe. [1 Petro 4:12, 13]
  • Akatia wimbo mpya kinywani mwangu, Ndio sifa zake Mungu wetu. Wengi wataona na kuogopa, Nao watamtumaini Bwana [Zaburi 40:3]
  • Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu, nami nitawapa moyo wa nyama. [Ezekieli 36:26]
  • Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima. [Warumi 6:4]
  • Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya. [2 Wakorintho 5:17]
  • na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli. [Waefeso 4:23, 24]
  • Ndugu, sijidhanii nafsi yangu kwamba nimekwisha kushika; ila natenda neno moja tu; nikiyasahau yaliyo nyuma, nikiyachuchumilia yaliyo mbele; nakaza mwendo, niifikilie mede ya thawabu ya mwito mkuu wa Mungu katika Kristo Yesu. [Wafilipi 3:13, 14]

Uchambuzi Mistari ya Bibilia kuhusu uponyaji

Uchambuzi Mistari ya Bibilia kuhusu uponyaji
Bibilia ni kitabu kilicho jitosheleza, kwa kawaida bibilia imebeba majibu ya maswali ya kila kitu kuhusu mwanadamu anayeamini katika Kristo.Pia matumaini ya ushindi na maelekezo ya maisha ya Duniani na Mbinguni yapo hapo. Hapa nitakuchambulia tu kwa ufupi mistari ya bibilia inayohusu Uponyaji.Kupititia hapa Mungu anayeishi na akuponye & ubarikiwe


  • Mateso ya mwenye haki ni mengi, Lakini Bwana humponya nayo yote. - [Zaburi 34:19]
  • Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa. Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii. - [Yakobo 5:14-16]
  • Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao. - [Zaburi 107:20]
  • Rudi, ukamwambie Hezekia, mkuu wa watu wangu, Bwana, Mungu wa Daudi baba yako asema hivi, Nimeyasikia maombi yako, na kuyaona machozi yako; tazama, nitakuponya; siku ya tatu utapanda nyumbani kwa Bwana. - [2 Wafalme 20:5b]
  • Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya jeraha zako, asema Bwana, kwa sababu wamekuita, mwenye kutupwa, wakisema, Ni Sayuni, ambao hapana mtu autakaye. - [Yeremia 30:17a]
  • Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo. - [Isaya 40:29]
  • Akusamehe maovu yako yote, Akuponya magonjwa yako yote, - [Zaburi 103:3]
  • Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona. - [Isaya 53:5]
  • akawaambia, Kwamba utaisikiza kwa bidii sauti ya Bwana, Mungu wako, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, mimi sitatia juu yako maradhi yo yote niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi Bwana nikuponyaye. - [Kutoka 15:26]
  • Ikawa walipokuwa wakienda walitakasika. - [Luka 17:14b]
  • Akawaita wanafunzi wake kumi na wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu, wawatoe, na kupoza magonjwa yote na udhaifu wa kila aina. - [Mathayo 10:1]
  • Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mbawa zake; nanyi mtatoka nje, na kucheza-cheza kama ndama wa mazizini. - [Malaki 4:2a]
  • Petro akamwambia, Ainea, Yesu Kristo akuponya; ondoka, ujitandikie. Mara akaondoka. - [Matendo ya Mitume 9:34]
  • Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya. - [Marko 16:17-18]
  • mkaifanyie miguu yenu njia za kunyoka, ili kitu kilicho kiwete kisipotoshwe, bali afadhali kiponywe. - [Waebrania 12:13]
  • Na makusudi nisipate kujivuna kupita kiasi, kwa wingi wa mafunuo hayo nalipewa mwiba katika mwili, mjumbe wa Shetani ili anipige, nisije nikajivuna kupita kiasi. Kwa ajili ya kitu hicho nalimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke. Naye akaniambia, Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Basi nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, ili uweza wa Kristo ukae juu yangu. - [2 Wakorintho 12:7-9]

Uchaguzi wa Mistari ya Biblia kuhusu somo la imani

Uchaguzi wa Mistari ya Biblia kuhusu somo la imani

Uchaguzi huu ni mwongozo, wenye mistari yote ya msingi juu ya somo la imani..kutokana na umuhimu wa imani katika mambo ya kiroho nimeamua kukuchambulia mistari michache tu kukusaidia kukua kwa imani yako katika Bwana .Mungu akusaidie upate kitu cha tofauti unaposoma mistari hii

  • Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo. - [Warumi 10:17]
  • Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako. - [Mithali 3:5,6]
  • Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. - [Marko 9:23]
  • Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya. - [2 Wakorintho 5:17]
  • kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu. - [Luka 1:37]
  • Ndipo alipowagusa macho, akasema, Kwa kadiri ya imani yenu mpate. - [Mathayo 9:29b]
  • Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana. - [Waebrania 11:1]
  • Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa. Ila na aombe kwa imani, pasipo shaka yo yote; maana mwenye shaka ni kama wimbi la bahari lililochukuliwa na upepo, na kupeperushwa huku na huku. Maana mtu kama yule asidhani ya kuwa atapokea kitu kwa Bwana. Mtu wa nia mbili husita-sita katika njia zake zote. - [Yakobo 1:5-8]
  • Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao. - [Waebrania 11:6]
  • Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa. - [Yakobo 2:26]
  • Na kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi. - [Warumi 14:23b]
  • Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisita-sita, roho yangu haina furaha naye. - [Waebrania 10:38]
  • Tazama, ataniua; sina tumaini; ila hata hivyonitaithibitisha njia yangu mbele yake. - [Ayubu 13:15a]
  • Nguvu zenu zitakuwa katika kutulia na kutumaini; lakini hamkukubali. - [Isaya 30:15b]
  • Kama sisi hatuamini, yeye hudumu wa kuaminiwa. Kwa maana hawezi kujikana mwenyewe. - [2 Timotheo 2:13]
  • Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu. - [1 Yohana 5:4]
  • Zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu. - [Waefeso 6:16]
  • Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu. - [Mathayo 17:20]
  • tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu. - [Waebrania 12:2]
  • Basi tukiisha kuhesabiwa haki itokayo katika imani, na mwe na amani kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, - [Warumi 5:1]
  • Yesu akajibu, akamwambia, Mwaminini Mungu. - [Marko 11:22]
  • Mnafurahi sana wakati huo, ijapokuwa sasa kwa kitambo kidogo, ikiwa ni lazima, mmehuzunishwa kwa majaribu ya namna mbalimbali; ili kwamba kujaribiwa kwa imani yenu, ambayo ina thamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto, kuonekane kuwa kwenye sifa na utukufu na heshima, katika kufunuliwa kwake Yesu Kristo. Naye mwampenda, ijapokuwa hamkumwona; ambaye ijapokuwa hamwoni sasa, mnamwamini; na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, yenye utukufu, katika kuupokea mwisho wa imani yenu, yaani, wokovu wa roho zenu. - [1 Petro 1:6-9]