Jumapili, 23 Oktoba 2016

DAWA ZA ASILI JITIBU PRESHA YA KUPANDA NA KISUKARI KWA KUTUMIA TIBA HII YA ASILI : 

 Tiba inasaidia pia kuyeyusha mafuta yasiyo hitajika mwilini. 

Kinywaji  hiki  cha  ajabu  kitakusaidia  kushusha  presha, kuyeyusha  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini, kupambana  na  kisukari  na  kuimarisha  mfumo  wa  mmen’genyo  wa  chakula  katika  mwili  wako.
Mahitaji
    • Kijiko 1 kidogo  cha  mdalasini
    • Vijiko  viwili  vikubwa  vya  apple  cider  vinegar
    • Kijiko  kimoja  kikubwa  cha  asali  mbichi.
    • Vijiko  viwili  vikubwa  vya  juisi  ya  limao.
    • Glasi  moja  ya  maji
MATAYARISHO :
Weka   vitu  vyote  hivyo  kwenye  blender  na  usage  kwa  pamoja  kasha  uhifadhi  kwenye  chombo  kisafi  na  salama.
MATUMIZI
Kunywa  dawa  yako  kila  siku  asubuhi  kabla  haujatia  kitu  chochote  tumboni.
TENGENEZA   MCHANGANYIKO  WAKO  KILA  SIKU  KWA  SABABU  NI  RAHISI  KUTENGENEZA.
Matokeo  ya  kutumia  mchanganyiko  huu  yatakuwa  ya  kushangaza  na  kustaajabisha.

Maoni 1 :

  1. Nataka kutoa ushuhuda kuhusu jinsi nilivyopona kutokana na Virusi vya Herpes. Miezi michache iliyopita nilikuwa na dalili kadhaa. Nilienda kumuona daktari na vipimo vingi vya damu vilifanywa kwangu, baadaye niliambiwa nilikuwa na Herpes. Daktari wangu aliniambia kwamba hakuna tiba ya Herpes. Nilijisikia vibaya, niliingia mtandaoni nikitafuta tiba inayowezekana ya Virusi vya Herpes, niliona chapisho la Dkt. Dawn, daktari wa mitishamba anayewasaidia watu kupona kutokana na Herpes. Saratani. VVU na mengineyo. Niliwasiliana naye na kumwambia jinsi ninavyohisi. Alisema dawa yake ya mitishamba inaweza kuniponya. Alinitumia dawa kupitia huduma ya utoaji wa UPS na nilipokea dawa siku 6 baada ya kuituma, nilichukua dawa kama alivyoniagiza. Kabla sijakamilisha dawa dalili zilisimama. Nilienda kwa daktari na kufanya kipimo kingine cha damu, cha kushangaza nilikuwa hasi. Sijapata dalili tena. Dkt. Dawn ni mzuri na unaweza
    kuwasiliana kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )

    Ikiwa unahitaji dawa za mitishamba kutibu magonjwa yoyote sugu au ya zinaa kama.
    HERPES.
    SARATANI.
    VVU/UKIMWI na zaidi

    JibuFuta